Swali: Inafaa kiwango cha zakaah kukigeuza chakula na vitu vinginevyo ambapo wakakawiwa mafukara?
Jibu: Haijuzu. Zakaah ni lazima itolewe chakula. Lakini akiwepo mtu ambaye anapokea zakaah mbalimbali kwa niaba ya nchi, hakuna ubaya akanunua mahitajio mbalimbali ya mafukara na akawapa. Ama ikiwa ni mtu binafsi au mtu akawa anamuwakilishia mtu mwengine, asiigeuze katika vyakula. Bali anatakiwa kuitoa pesa.
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Liqaa’ ash-Shahriy (41) http://binothaimeen.net/content/1524
- Imechapishwa: 13/06/2018
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)