Malezi ni kule kuanza kwa zile elimu ndogondogo kabla ya zile kubwakubwa. Wafunze watu misingi, ile misingi muhimu. Wafunze watu yale maswali watakayoulizwa ndani ya kaburi kabla ya kingine chochote: Ni nani Mola wako? Ni ipi dini yako? Ni nani Mtume wako? Haya yanapatikana katika “Usuwl-uth-Thalaathah”, na si katika “Fiy Dhwilaal-il-Qur-aan”.
- Muhusika: ´Allaamah Muhammad Amaan bin ´Aliy al-Jaamiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://www.youtube.com/watch?v=DlnW0hU3zNY
- Imechapishwa: 07/02/2021
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)