Malezi ni kule kuanza kwa zile elimu ndogondogo kabla ya zile kubwakubwa. Wafunze watu misingi, ile misingi muhimu. Wafunze watu yale maswali watakayoulizwa ndani ya kaburi kabla ya kingine chochote: Ni nani Mola wako? Ni ipi dini yako? Ni nani Mtume wako? Haya yanapatikana katika “Usuwl-uth-Thalaathah”, na si katika “Fiy Dhwilaal-il-Qur-aan”.
- Muhusika: ´Allaamah Muhammad Amaan bin ´Aliy al-Jaamiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://www.youtube.com/watch?v=DlnW0hU3zNY
- Imechapishwa: 07/02/2021
Malezi ni kule kuanza kwa zile elimu ndogondogo kabla ya zile kubwakubwa. Wafunze watu misingi, ile misingi muhimu. Wafunze watu yale maswali watakayoulizwa ndani ya kaburi kabla ya kingine chochote: Ni nani Mola wako? Ni ipi dini yako? Ni nani Mtume wako? Haya yanapatikana katika “Usuwl-uth-Thalaathah”, na si katika “Fiy Dhwilaal-il-Qur-aan”.
Muhusika: ´Allaamah Muhammad Amaan bin ´Aliy al-Jaamiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://www.youtube.com/watch?v=DlnW0hU3zNY
Imechapishwa: 07/02/2021
https://firqatunnajia.com/kitu-cha-kwanza-unachotakiwa-kuwafunza-watu/