Hamu kubwa ya watu hii leo kunywa pombe kunathibitisha utume wa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) na kunamzidishie muislamu imani yake kumwamini Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Anas bin Maalik (Radhiya Allaahu ´anh) amesema:
“Hebu nikuelezeni niliyosikia kutoka kwa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ambayo hakuna yeyote aliyasikia kutoka kwake ambaye atakusimulieni nayo baada yangu? Miongoni mwa alama za Saa ni kunyanyuliwa elimu, kuenea kwa ujinga na kudhihiri kwa uzinzi.”[1]
[1] Muslim (2671).
- Muhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Qam´-ul-Mu´aanid, uk. 259
- Imechapishwa: 08/04/2025
Hamu kubwa ya watu hii leo kunywa pombe kunathibitisha utume wa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) na kunamzidishie muislamu imani yake kumwamini Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Anas bin Maalik (Radhiya Allaahu ´anh) amesema:
“Hebu nikuelezeni niliyosikia kutoka kwa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ambayo hakuna yeyote aliyasikia kutoka kwake ambaye atakusimulieni nayo baada yangu? Miongoni mwa alama za Saa ni kunyanyuliwa elimu, kuenea kwa ujinga na kudhihiri kwa uzinzi.”[1]
[1] Muslim (2671).
Muhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Qam´-ul-Mu´aanid, uk. 259
Imechapishwa: 08/04/2025
https://firqatunnajia.com/kileo-kingi-kabla-ya-kusimama-qiyaamah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket