Swali: Mimi ni mwanafunzi nasoma lugha Uingereza. Huko niliko hakuna sehemu ya kuswali. Je, inajuzu kwangu kukusanya swalah?
Jibu: Hapana. Kukusanya swalah haijuzu. Swali sehemu yoyote unayoweza, sawa uko na wengine au uswali peke yako. Utapata sehemu ya kuswalia – Allaah akitaka. Kila kitu kinahusiana na kutaka. Ikiwa kweli mnataka basi Allaah atakufanyieni wepesi.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Liqaa’-ul-Jumu´ah bit-Twaa’if http://alfawzan.af.org.sa/ar/node/17101
- Imechapishwa: 24/09/2017
Swali: Mimi ni mwanafunzi nasoma lugha Uingereza. Huko niliko hakuna sehemu ya kuswali. Je, inajuzu kwangu kukusanya swalah?
Jibu: Hapana. Kukusanya swalah haijuzu. Swali sehemu yoyote unayoweza, sawa uko na wengine au uswali peke yako. Utapata sehemu ya kuswalia – Allaah akitaka. Kila kitu kinahusiana na kutaka. Ikiwa kweli mnataka basi Allaah atakufanyieni wepesi.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Liqaa’-ul-Jumu´ah bit-Twaa’if http://alfawzan.af.org.sa/ar/node/17101
Imechapishwa: 24/09/2017
https://firqatunnajia.com/kila-kitu-kinahusiana-na-kutaka/