Swali 108: Je, pombe ni najisi?
Jibu: Wanachuoni wengi wanaona kuwa ni najisi. Kwa hivyo ni vyema kuosha kinachoguswa nayo kwa ajili ya kuchukua tahadhari.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 60
- Imechapishwa: 17/03/2025
- Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
Swali 108: Je, pombe ni najisi?
Jibu: Wanachuoni wengi wanaona kuwa ni najisi. Kwa hivyo ni vyema kuosha kinachoguswa nayo kwa ajili ya kuchukua tahadhari.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 60
Imechapishwa: 17/03/2025
Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
https://firqatunnajia.com/kikosi-kikubwa-cha-wanazuoni-kuhusu-pombe/