Swali: Ukataji nywele unaofanywa baada ya ´Umrah ni kuchukua sehemu ya nywele kutoka kwenye kichwa kizima?
Jibu: Akate nywele sehemu yote ya kichwa; na sio kukata sehemu tu ya nywele. Akate nywele kichwa kizima kama anavyonyoa kichwa kizima. Allaah amefanya kupunguza badala ya kunyoa; kama ambavo kunyoa inakuwa kichwa kizima vivyo hivyo kupunguza. Leo mambo ni mepesi kuna mashine. Inawekwa kipimo fulani na inapunguza au kunyoa nywele zote.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (42)
- Imechapishwa: 03/07/2024
Swali: Ukataji nywele unaofanywa baada ya ´Umrah ni kuchukua sehemu ya nywele kutoka kwenye kichwa kizima?
Jibu: Akate nywele sehemu yote ya kichwa; na sio kukata sehemu tu ya nywele. Akate nywele kichwa kizima kama anavyonyoa kichwa kizima. Allaah amefanya kupunguza badala ya kunyoa; kama ambavo kunyoa inakuwa kichwa kizima vivyo hivyo kupunguza. Leo mambo ni mepesi kuna mashine. Inawekwa kipimo fulani na inapunguza au kunyoa nywele zote.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (42)
Imechapishwa: 03/07/2024
https://firqatunnajia.com/kichwa-kizima-kinatakiwa-kupunguzwa/