Swali: Katika nchi yetu wapo ambao wanachinja kwenye makaburi na wakati huohuo kunafanywa baadhi ya mambo ya shirki. Hilo likapelekea baadhi ya watu wakasema kuwa hawali kutoka kwenye vichinjwa vya nchi hio kwa sababu kuna uwezekano kichinjwa hicho kimechinjwa na wale wenye kufanya mambo hayo ya shirki. Ni ipi hukumu ya hilo?
Jibu: Chenye kuchinjwa kwenye makaburi hakiliwi, kwa sababu kimechinjwa kujengea nia batili na mbovu. Ni kwa nini wanachinja kwenye makaburi? Si jengine ni kwa sababu wanayatukuza makaburi. Haijuzu kufanya hivo.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://www.alfawzan.af.org.sa/ar/node/18073
- Imechapishwa: 13/07/2019
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket