Swali: Unawanasihi vipi wanafunzi na waalimu kuhusiana na mlipuko uliotokea katika msikiti wa SEF[1] maeneo ya Aasir?
Jibu: Wawatahadharishe watu juu ya matendo kama hayo. Wawabainishie ya kwamba haya ni matendo ya Khawaarij, ya kwamba wanaenda kinyume na njia ya Ahl-us-Sunnah wal-Jamaa´ah na kwamba ni kufanya uasi dhidi ya watawala. Wawabainishie kuwa matendo kama hayo ni kuua nafsi pasi na haki na madhambi mengine mengi.
[1] Tazama https://en.wikipedia.org/wiki/Saudi_Emergency_Force
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (36) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ighasah%20-%2024-10-1436.mp3
- Imechapishwa: 12/02/2017
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)