Swali: Mtunzi ametaja ya kwamba kukaa kati ya Khutbah mbili ni jambo lililopendekezwa. Ikiwa Khatwiyb ataacha kukaa baada ya Khutbah ya kwanza na akasimama na kunyamaza halafu ndipo akaanza Khutbah ya pili. Je, ile Khutbah yake ya pili inahesabiwa?
Jibu: Anahesabiwa Khutba mbili, lakini kitendo chake kinaenda kinyume na Sunnah. Hivyo amejikosesha ujira mkubwa.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (13) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/umdah%20Fiqh-26-10-1434.mp3
- Imechapishwa: 22/10/2017
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket