Swali: Mimi nafanya kazi katika dula la dawa na mmiliki wa duka amemfanya mkurungezi juu yetu ni mwanamke. Unaninasihi nini?
Jibu: Nakunasihi usibaki katika duka hili la dawa. Jihadhari na tafuta kazi nyingine. Nakupa bishara njema kwa sababu Allaah (Subhaanah) amesema:
وَمَن يَتَّقِ اللَّـهَ يَجْعَل لَّهُ مَخْرَجًا وَيَرْزُقْهُ مِنْ حَيْثُ لَا يَحْتَسِبُ
“Na yule anayemcha Allaah humjaalia njia [ya kutokea] na atamruzuku kutoka njia ambayo hatizamii.”[1]
Ukiweza kumnasihi mmiliki wa duka ili ateue mkurugenzi mwanamme basi fanya hivo. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Dini ni kupeana nasaha.”
[1] 65:02-03
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (09/39)
- Imechapishwa: 09/07/2021
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)