625 – Nilimuuliza kuhusu kuvaa hariri wakati wa vita na Jihaad?
Jibu: Akanyamaza kidogo, kisha akasema kwamba inajuzu kwa sababu ya upele na kwa dharurah ikiwa hakupata nguo nyingine[1].
[1] Kufaa kwake kumepokewa na Shaykh-ul-Islam (28/27), (19/60) na akasema:
“Imepokelewa kutoka kwa ´Umar kwamba aliwatolea fatwa Maswahabah kuruhusu kuivaa wakati maadui walipoivaa.”
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 222
- Imechapishwa: 14/06/2025
- Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
625 – Nilimuuliza kuhusu kuvaa hariri wakati wa vita na Jihaad?
Jibu: Akanyamaza kidogo, kisha akasema kwamba inajuzu kwa sababu ya upele na kwa dharurah ikiwa hakupata nguo nyingine[1].
[1] Kufaa kwake kumepokewa na Shaykh-ul-Islam (28/27), (19/60) na akasema:
“Imepokelewa kutoka kwa ´Umar kwamba aliwatolea fatwa Maswahabah kuruhusu kuivaa wakati maadui walipoivaa.”
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 222
Imechapishwa: 14/06/2025
Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
https://firqatunnajia.com/katika-hali-hii-inafaa-kwa-mwanaume-kuvaa-hariri/