Swali: Vipi kuhusu kuishusha kanzu vidole vinne chini ya goti kama ilivyotajwa katika Hadiyth?
Jibu: Hapana, ishushwe mpaka kwenye nusu muundi.
Swali: Lakini akifanya hivo kitendo hicho ni kwa njia ya kuchukiza?
Jibu: Hapana vibaya akishusha hadi kwenye nusu muundi. Jambo ni lenye wasaa hadi kwenye goti. Yote yanafaa.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23304/حكم-جعل-القميص-تحت-الركبة-باربع-اصابع
- Imechapishwa: 31/05/2025
Swali: Vipi kuhusu kuishusha kanzu vidole vinne chini ya goti kama ilivyotajwa katika Hadiyth?
Jibu: Hapana, ishushwe mpaka kwenye nusu muundi.
Swali: Lakini akifanya hivo kitendo hicho ni kwa njia ya kuchukiza?
Jibu: Hapana vibaya akishusha hadi kwenye nusu muundi. Jambo ni lenye wasaa hadi kwenye goti. Yote yanafaa.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23304/حكم-جعل-القميص-تحت-الركبة-باربع-اصابع
Imechapishwa: 31/05/2025
https://firqatunnajia.com/kanzu-inashushwa-hadi-kwenye-muundi-wa-mguu/