62 – Nilimuuliza Shaykh wetu kuhusu kamera za video mara kwa mara?

Jibu: Hakuzikemea. Akatoa sababu ya kwamba si zenye kubaki kwenye karatasi wala ukuta.

  • Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
  • Tarjama: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 45
  • Imechapishwa: 08/08/2025
  • Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´