Swali: Je, inafaa kwangu kuchukua msaada kutoka kwa kafiri katika kumchuna na kumkatakata kichinjwa changu cha Udhhiyah baada ya kumchinja?
Jibu: Ndio, hakuna neno.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (106) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ighatoul%20lahfan-%2027-03-1441.mp3
- Imechapishwa: 26/09/2020
Swali: Je, inafaa kwangu kuchukua msaada kutoka kwa kafiri katika kumchuna na kumkatakata kichinjwa changu cha Udhhiyah baada ya kumchinja?
Jibu: Ndio, hakuna neno.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (106) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ighatoul%20lahfan-%2027-03-1441.mp3
Imechapishwa: 26/09/2020
https://firqatunnajia.com/kafiri-kuchuna-na-kukatakata-kichinjwa-cha-muislamu/