Swali: Je, jini linaweza kumfanya mwanaadamu kupatwa na kijicho?
Jibu: Allaah ndiye anajua zaidi. Lakini ni wajibu kwako kufanya nyuradi na du´aa na Allaah atakukinga kutokaman na majini na watu:
مِنَ الْجِنَّةِ وَالنَّاسِ
“Miongoni mwa majini na watu.” (114:06)
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (64) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/28-07-1438h-fathou.mp3
- Imechapishwa: 29/07/2017
Swali: Je, jini linaweza kumfanya mwanaadamu kupatwa na kijicho?
Jibu: Allaah ndiye anajua zaidi. Lakini ni wajibu kwako kufanya nyuradi na du´aa na Allaah atakukinga kutokaman na majini na watu:
مِنَ الْجِنَّةِ وَالنَّاسِ
“Miongoni mwa majini na watu.” (114:06)
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (64) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/28-07-1438h-fathou.mp3
Imechapishwa: 29/07/2017
https://firqatunnajia.com/jini-linaweza-kumfanya-mwanaadamu-kupatwa-na-kijicho/