Swali: Mmoja mmoja ameambiwa kwamba endapo atakuwa na janaba basi asitawadhe isipokuwa baada ya kuingiza maji ndani ya uke. Je, hayo ni sahihi?
Jibu: Sio wajibu kwa mwanamke pindi anapooga janaba au hedhi kuosha ndani ya uke. Haya ndio maoni sahihi zaidi katika maoni mawili. Allaah ndiye mjuzi zaidi.
- Muhusika: Shaykh-ul-Islaam Ahmad bin Taymiyyah
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (21/296-297)
- Imechapishwa: 14/11/2017
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)