Swali 46: Je, mwenye kukataa kutoa zakaah anakufuru japokuwa ataswali na kufunga?
Jibu: Hakufuru isipokuwa akiwa ni mwenye kupinga. Abu Bakr hakuwapiga vita baadhi yao kwa sababu wamekufuru. Lakini alisema iwapo watazuia kutoa kile walichokuwa wakikitoa kumpa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) basi nitawapiga vita kwacho.
- Muhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ijaabatu as-Saa-il, uk. 119
- Imechapishwa: 24/09/2019
Swali 46: Je, mwenye kukataa kutoa zakaah anakufuru japokuwa ataswali na kufunga?
Jibu: Hakufuru isipokuwa akiwa ni mwenye kupinga. Abu Bakr hakuwapiga vita baadhi yao kwa sababu wamekufuru. Lakini alisema iwapo watazuia kutoa kile walichokuwa wakikitoa kumpa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) basi nitawapiga vita kwacho.
Muhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Ijaabatu as-Saa-il, uk. 119
Imechapishwa: 24/09/2019
https://firqatunnajia.com/je-mwenye-kukataa-kutoa-zakaah-anakufuru-japokuwa-ataswali-na-kufunga/
Mshirikishe mwenzako:
- Share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Print (Opens in new window) Print
- Email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Share on X (Opens in new window) X
- Share on Pocket (Opens in new window) Pocket