Swali 25: Je, maamuma wakae kikao cha kupumzika[1] (جلسة الاستراحة) ikiwa imamu hakukaa?
Jibu: Maamuma anatakiwa kukaa kikao cha kupumzika ikiwa imamu hakukaa. Ni kama mfano wa kunyanyua mikono katika Takbiyrat-ul-Ihraam, baada ya kuinuka kutoka kwenye Rukuu´ au kuinuka kutoka katika Tashahhud ya kwanza japokuwa imamu yeye hatonyanyua.
[1] https://firqatunnajia.com/66-kikao-cha-kupumzika/
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: ash-Sharh al-Mumtaaz, uk. 36
- Imechapishwa: 01/11/2018
Swali 25: Je, maamuma wakae kikao cha kupumzika[1] (جلسة الاستراحة) ikiwa imamu hakukaa?
Jibu: Maamuma anatakiwa kukaa kikao cha kupumzika ikiwa imamu hakukaa. Ni kama mfano wa kunyanyua mikono katika Takbiyrat-ul-Ihraam, baada ya kuinuka kutoka kwenye Rukuu´ au kuinuka kutoka katika Tashahhud ya kwanza japokuwa imamu yeye hatonyanyua.
[1] https://firqatunnajia.com/66-kikao-cha-kupumzika/
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: ash-Sharh al-Mumtaaz, uk. 36
Imechapishwa: 01/11/2018
https://firqatunnajia.com/je-maamuma-wakae-kikao-cha-kupumzika-ikiwa-imamu-hakukaa/