Swali: Je, inakubaliwa hajj ya ambaye yuko na deni?
Jibu: Inakubaliwa – Allaah akitaka. Lakini mdaiwa akiwa na namna na si muweza basi atangulize kulipa deni. Vinginevyo hijja yake ni sahihi. Hata hivyo bora na salama zaidi aanze kulipa deni.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/29280/هل-يقبل-حج-من-عليه-دين
- Imechapishwa: 18/05/2025
Swali: Je, inakubaliwa hajj ya ambaye yuko na deni?
Jibu: Inakubaliwa – Allaah akitaka. Lakini mdaiwa akiwa na namna na si muweza basi atangulize kulipa deni. Vinginevyo hijja yake ni sahihi. Hata hivyo bora na salama zaidi aanze kulipa deni.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/29280/هل-يقبل-حج-من-عليه-دين
Imechapishwa: 18/05/2025
https://firqatunnajia.com/je-inakubaliwa-hijjah-ya-mwenye-deni/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket