Swali: Muislamu ambaye ana majirani ambao ni manaswara. Je, inajuzu kwa muislamu pindi anapogonjweka mnaswara akamtembelea na anapokufa akalifuata jeneza lake? Muislamu mwenye kufanya hivo anapata dhambi?
Jibu: Haifai akafuata jeneza lake. Kuhusu kumtembelea hakuna ubaya. Huenda katika kufanya hivo kukawa kuna manufaa ndani yake kukamlainisha juu ya Uislamu. Akifa hali ya kuwa ni kafiri basi Moto umemuwajibikia. Kwa ajili hiyo haifai kumuombea.
- Muhusika: Shaykh-ul-Islâm Ahmad bin Taymiyyah
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (24/339)
- Imechapishwa: 09/05/2019
Swali: Muislamu ambaye ana majirani ambao ni manaswara. Je, inajuzu kwa muislamu pindi anapogonjweka mnaswara akamtembelea na anapokufa akalifuata jeneza lake? Muislamu mwenye kufanya hivo anapata dhambi?
Jibu: Haifai akafuata jeneza lake. Kuhusu kumtembelea hakuna ubaya. Huenda katika kufanya hivo kukawa kuna manufaa ndani yake kukamlainisha juu ya Uislamu. Akifa hali ya kuwa ni kafiri basi Moto umemuwajibikia. Kwa ajili hiyo haifai kumuombea.
Muhusika: Shaykh-ul-Islâm Ahmad bin Taymiyyah
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (24/339)
Imechapishwa: 09/05/2019
https://firqatunnajia.com/inajuzu-kwa-muislamu-kulisindikiza-jeneza-la-kafiri/