Swali: Baadhi ya watu wanafunga na hawaswali. Je, wapewe Zakaat-ul-Fitwr?
Jibu: Wanaofunga pasi na kuswali hawana funga yoyote. Matendo yao yote ni batili. Wasioswali ni lazima kwao kutubu kwa Allaah. Wakitubu kwa Allaah na wakasilimu ndio watakuwa wameingia katika Uislamu upya na hapo ndipo wanaweza kupewa Zakaat-ul-Fitwr, wanaweza kufunga na kufanya matendo ya wajibu mengine.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/node/4846
- Imechapishwa: 21/06/2017
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket