Swali: Baadhi ya watu wanafunga na hawaswali. Je, wapewe Zakaat-ul-Fitwr?
Jibu: Wanaofunga pasi na kuswali hawana funga yoyote. Matendo yao yote ni batili. Wasioswali ni lazima kwao kutubu kwa Allaah. Wakitubu kwa Allaah na wakasilimu ndio watakuwa wameingia katika Uislamu upya na hapo ndipo wanaweza kupewa Zakaat-ul-Fitwr, wanaweza kufunga na kufanya matendo ya wajibu mengine.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/node/4846
- Imechapishwa: 21/06/2017
Swali: Baadhi ya watu wanafunga na hawaswali. Je, wapewe Zakaat-ul-Fitwr?
Jibu: Wanaofunga pasi na kuswali hawana funga yoyote. Matendo yao yote ni batili. Wasioswali ni lazima kwao kutubu kwa Allaah. Wakitubu kwa Allaah na wakasilimu ndio watakuwa wameingia katika Uislamu upya na hapo ndipo wanaweza kupewa Zakaat-ul-Fitwr, wanaweza kufunga na kufanya matendo ya wajibu mengine.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/node/4846
Imechapishwa: 21/06/2017
https://firqatunnajia.com/inajuzu-kumpa-zakaat-ul-fitwr-asiyeswali/
Mshirikishe mwenzako:
- Share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Print (Opens in new window) Print
- Email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Share on X (Opens in new window) X
- Share on Pocket (Opens in new window) Pocket