Swali: Inafaa kwa mtu kumkirimu mgeni wake katika pesa ya zakaah?
Jibu: Hapana. Mgeni ana haki nyingine isiyokuwa zakaah. Zakaah ina watu wake ambao ni mafukara. Mgeni huyu anaweza kuwa sio fakiri. Haki ya ugeni haitoki katika zakaah.
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (03) http://audio2.islamweb.net/lecturs/aalrrajhee/430/430.mp3
- Imechapishwa: 23/03/2018
Swali: Inafaa kwa mtu kumkirimu mgeni wake katika pesa ya zakaah?
Jibu: Hapana. Mgeni ana haki nyingine isiyokuwa zakaah. Zakaah ina watu wake ambao ni mafukara. Mgeni huyu anaweza kuwa sio fakiri. Haki ya ugeni haitoki katika zakaah.
Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (03) http://audio2.islamweb.net/lecturs/aalrrajhee/430/430.mp3
Imechapishwa: 23/03/2018
https://firqatunnajia.com/inafaa-kumpa-zakaah-mgeni/