Swali: Imethibiti kuwa katika majina ya Allaah ni Mzuri (al-Jamiyl)?
Jibu: Ndio. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Hakika ya Allaah ni Mzuri (al-Jamiyl) na anapenda uzuri.”
Imepokelewa na al-Bukhaariy na Muslim
Swali: Mtu anaweza kujiita “´Abdul-Jamiyl”?
Jibu: Mzuri ni jina la Allaah (Subhanaahu wa Ta´ala). Lakini hata hivyo ajiite kwa majina ambayo yako wazi yasiyokuwa na utata. Hili ndio bora zaidi.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh al-´Aqiydah al-Waasitwiyyah (01)
- Imechapishwa: 09/08/2020
Swali: Imethibiti kuwa katika majina ya Allaah ni Mzuri (al-Jamiyl)?
Jibu: Ndio. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Hakika ya Allaah ni Mzuri (al-Jamiyl) na anapenda uzuri.”
Imepokelewa na al-Bukhaariy na Muslim
Swali: Mtu anaweza kujiita “´Abdul-Jamiyl”?
Jibu: Mzuri ni jina la Allaah (Subhanaahu wa Ta´ala). Lakini hata hivyo ajiite kwa majina ambayo yako wazi yasiyokuwa na utata. Hili ndio bora zaidi.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh al-´Aqiydah al-Waasitwiyyah (01)
Imechapishwa: 09/08/2020
https://firqatunnajia.com/inafaa-kumpa-mtoto-jina-la-abdul-jamiyl/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)