Swali: Mimi ni muadhini katika msikiti moja wapo. Wakati ninapofikwa na dharurah au nikataka kuhudhuria darsa kama hii, basi huwakilisha mtu akaadhini. Wakati imamu anapofikwa na kile kinachonifikia naye humuwakilisha mwengine. Je, tuna dhambi kufanya hivo?
Jibu: Natarajia hakuna dhambi kwa kufanya hivo – Allaah akitaka – midhali hakuna kukwepa sana. Ama ikiwa kutatokea kutokuwepo kwa wingi kuna utata. Katika hali hiyo nachelea kusije kuwa na dhambi.
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (02) http://audio2.islamweb.net/lecturs/aalrrajhee/429/429.mp3
- Imechapishwa: 07/03/2018
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)