Swali: Ni ipi hukumu ya imamu ambaye amewaswalisha watu mkusanyiko katika swala ya kusoma kwa sauti na hakusoma kitu baada ya al-Faatihah?
Jibu: Swalah ni sahihi. Kilicho cha lazima ni kusoma al-Faatihah. Ni nguzo katika swalah. Chenye kuzidi juu ya al-Faatihah kimependekezwa. Lakini inatakiwa kwa mtu afanye kile kilichopendekezwa.
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (15)
- Imechapishwa: 05/07/2020
Swali: Ni ipi hukumu ya imamu ambaye amewaswalisha watu mkusanyiko katika swala ya kusoma kwa sauti na hakusoma kitu baada ya al-Faatihah?
Jibu: Swalah ni sahihi. Kilicho cha lazima ni kusoma al-Faatihah. Ni nguzo katika swalah. Chenye kuzidi juu ya al-Faatihah kimependekezwa. Lakini inatakiwa kwa mtu afanye kile kilichopendekezwa.
Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (15)
Imechapishwa: 05/07/2020
https://firqatunnajia.com/imamu-hakusoma-suurah-nyingine-baada-ya-al-faatihah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket