Swali: Ni ipi hukumu ya kuswali nyuma ya imamu asiyekuwa na utulivu katika swalah yake na khaswa yule ambaye hatuwezi hata kusoma al-Faatihah yote?
Jibu: Ikiwa anayefanya kasoro katika utulivu basi swalah yake haisihi. Uchahe wa utulivu ni mtu atulizane na awe imara mpaka kila kiungo kiweze kurudi mahali pake pamoja na kusema “Subhaan Allaah”. Kuhusu usomaji wa al-Faatihah unatakiwa uisome ijapo imamu pia anaisoma. Ni kitu kilichovuliwa kwa mujibu wa maoni sahihi.
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (19)
- Imechapishwa: 06/03/2021
Swali: Ni ipi hukumu ya kuswali nyuma ya imamu asiyekuwa na utulivu katika swalah yake na khaswa yule ambaye hatuwezi hata kusoma al-Faatihah yote?
Jibu: Ikiwa anayefanya kasoro katika utulivu basi swalah yake haisihi. Uchahe wa utulivu ni mtu atulizane na awe imara mpaka kila kiungo kiweze kurudi mahali pake pamoja na kusema “Subhaan Allaah”. Kuhusu usomaji wa al-Faatihah unatakiwa uisome ijapo imamu pia anaisoma. Ni kitu kilichovuliwa kwa mujibu wa maoni sahihi.
Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (19)
Imechapishwa: 06/03/2021
https://firqatunnajia.com/imamu-asiyekuwa-na-utulivu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)