Swali: Imamu akikumbuka kuwa hana wudhuu´ kabla ya Tasliym atoke ndani ya swalah au afanye nini?
Jibu: Akikumbuka basi ni lazima kwake kusogea nyuma na amtangulize aliye nyuma yake ijapo ni kabla ya Tasliym na wala asiendelee kuswali.
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (19)
- Imechapishwa: 07/03/2021
Swali: Imamu akikumbuka kuwa hana wudhuu´ kabla ya Tasliym atoke ndani ya swalah au afanye nini?
Jibu: Akikumbuka basi ni lazima kwake kusogea nyuma na amtangulize aliye nyuma yake ijapo ni kabla ya Tasliym na wala asiendelee kuswali.
Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (19)
Imechapishwa: 07/03/2021
https://firqatunnajia.com/imamu-amekumbuka-hana-wudhuu-kabla-ya-tasliym/