Swali: Je, Jeddah ni kituo?
Jibu: Hapana, ni kituo kwa wakazi wake au wale wenye kunuia kufanya ´Umrah au Hajj kutokea hapo. Yule aliyeko hapo na akanuia kufanya Hajj au ´Umrah, basi ataingilia Ihraam hapo. Wakazi wa Jeddah wataingilia Ihraam hapo. Kuhusu wengine wote wanatakiwa kuingia Ihraam katika vituo vilivyo kwenye njia zao.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (20) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Umdah-6-2-1435-01.mp3
- Imechapishwa: 18/01/2020
Swali: Je, Jeddah ni kituo?
Jibu: Hapana, ni kituo kwa wakazi wake au wale wenye kunuia kufanya ´Umrah au Hajj kutokea hapo. Yule aliyeko hapo na akanuia kufanya Hajj au ´Umrah, basi ataingilia Ihraam hapo. Wakazi wa Jeddah wataingilia Ihraam hapo. Kuhusu wengine wote wanatakiwa kuingia Ihraam katika vituo vilivyo kwenye njia zao.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (20) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Umdah-6-2-1435-01.mp3
Imechapishwa: 18/01/2020
https://firqatunnajia.com/ihraam-kutokea-jeddah/