Swali: Ni ipi hukumu ya kuongea wakati wa Khutbah ya ´Iyd?
Jibu: Jambo hili wanachuoni wametofautiana. Wapo ambao wamesema ni haramu kuzungumza wakati imamu anakhutubu siku ya ´Iyd. Wapo wengine wamesema kuwa hakuna neno kwa sababu kuhudhuria sio wajibu. Hivyo kusikiliza pia sio wajibu.
Hapana shaka kwamba katika adabu ni mtu asiongee. Kwa sababu akiongea anaishughulisha nafsi yake, anawashughulisha vilevile wale wengine wanaozungumzishwa au ambao wanamsikiliza na kumtazama.
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (16/247)
- Imechapishwa: 14/06/2018
Swali: Ni ipi hukumu ya kuongea wakati wa Khutbah ya ´Iyd?
Jibu: Jambo hili wanachuoni wametofautiana. Wapo ambao wamesema ni haramu kuzungumza wakati imamu anakhutubu siku ya ´Iyd. Wapo wengine wamesema kuwa hakuna neno kwa sababu kuhudhuria sio wajibu. Hivyo kusikiliza pia sio wajibu.
Hapana shaka kwamba katika adabu ni mtu asiongee. Kwa sababu akiongea anaishughulisha nafsi yake, anawashughulisha vilevile wale wengine wanaozungumzishwa au ambao wanamsikiliza na kumtazama.
Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (16/247)
Imechapishwa: 14/06/2018
https://firqatunnajia.com/ibn-uthaymiyn-kuongea-wakati-wa-khutbah-ya-iyd/