Swali: Inajuzu kutumia neno ´maulaana` kwa Shaykh?
Jibu: Haitakikani. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Asisemi mmoja wenu: “Ee maulaana wangu fulani! Bali Allaah ndiye maulanaa Wenu.”
Isipokuwa tu kwa bwana na yule anayemmiliki. Mtumwa anaweza kusema bwana bosi wangu. Ni sawa kwa yule ambaye ni mtumwa na mwenye kumilikiwa kulisema.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Kashf-ish-Shubuhaat, uk. 26
- Imechapishwa: 22/03/2019
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)