Ibn Baaz kutumia neno Maulaana kwa Shaykh

Swali: Inajuzu kutumia neno ´maulaana` kwa Shaykh?

Jibu: Haitakikani. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:

“Asisemi mmoja wenu: “Ee maulaana wangu fulani! Bali Allaah ndiye maulanaa Wenu.”

Isipokuwa tu kwa bwana na yule anayemmiliki. Mtumwa anaweza kusema bwana bosi wangu. Ni sawa kwa yule ambaye ni mtumwa na mwenye kumilikiwa kulisema.

  • Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
  • Tarjama: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Sharh Kashf-ish-Shubuhaat, uk. 26
  • Imechapishwa: 22/03/2019