Swali: Dhahabu zinazotumiwa kwa ajili ya kujipamba na mfano wake ni wajibu kuzitolea Zakaah?
Jibu: Kauli sahihi ni kwamba zinatolewa Zakaah. Kuna tofauti kwa wanachuoni. Baadhi ya wanachuoni wanaonelea kuwa zinazotumiwa hazitolewi Zakaah. Lakini hata hivyo kauli sahihi ni kwamba zinatolewa Zakaah kutokana na ujumla wa dalili.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://subulsalam.com/play.php?catsmktba=14490
- Imechapishwa: 23/11/2014
Swali: Dhahabu zinazotumiwa kwa ajili ya kujipamba na mfano wake ni wajibu kuzitolea Zakaah?
Jibu: Kauli sahihi ni kwamba zinatolewa Zakaah. Kuna tofauti kwa wanachuoni. Baadhi ya wanachuoni wanaonelea kuwa zinazotumiwa hazitolewi Zakaah. Lakini hata hivyo kauli sahihi ni kwamba zinatolewa Zakaah kutokana na ujumla wa dalili.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://subulsalam.com/play.php?catsmktba=14490
Imechapishwa: 23/11/2014
https://firqatunnajia.com/ibn-baaz-kuhusu-zakaah-juu-dhahabu-za-kujipamba/