Swali: Washirikina wengi wanajua kuwa ´ibaadah ni kwa ajili ya Allaah pekee lakini hawajui ni ´ibaadah zipi ambazo ni wajibu kumtakasia nazo Allaah.
Jibu: Ndio, wamegawanyika. Wengi wao hawajui kwa sababu ya ujinga. Wako wengine ambao wanafanya ukaidi, kama tulivyotangulia kusema.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Kashf-ish-Shubuhaat, uk. 55
- Imechapishwa: 22/06/2019
Swali: Washirikina wengi wanajua kuwa ´ibaadah ni kwa ajili ya Allaah pekee lakini hawajui ni ´ibaadah zipi ambazo ni wajibu kumtakasia nazo Allaah.
Jibu: Ndio, wamegawanyika. Wengi wao hawajui kwa sababu ya ujinga. Wako wengine ambao wanafanya ukaidi, kama tulivyotangulia kusema.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Kashf-ish-Shubuhaat, uk. 55
Imechapishwa: 22/06/2019
https://firqatunnajia.com/ibn-baaz-kuhusu-ujinga-ni-udhuru-x/