Swali: Ni ipi hukumu ya mwenye kuwepo juu kwa Allaah?
Jibu: Hukumu yake ni ukafiri na upotevu. Wenye kufanya hivi ni Mushabbihah, Mu´tazilah na watu mfano wao. Mwenye kupinga kuwepo juu kwa Allaah ni mpotevu na kafiri.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh al-´Aqiydah al-Waasitwiyyah (02)
- Imechapishwa: 09/08/2020
Swali: Ni ipi hukumu ya mwenye kuwepo juu kwa Allaah?
Jibu: Hukumu yake ni ukafiri na upotevu. Wenye kufanya hivi ni Mushabbihah, Mu´tazilah na watu mfano wao. Mwenye kupinga kuwepo juu kwa Allaah ni mpotevu na kafiri.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh al-´Aqiydah al-Waasitwiyyah (02)
Imechapishwa: 09/08/2020
https://firqatunnajia.com/ibn-baaz-kuhusu-mwenye-kupinga-kuwepo-juu-kwa-allaah/