Swali: Baadhi ya wanafunzi wanachukua minyororo ya wapokezi ya al-Bukhaariy na Muslim kwa ajili ya kuzisoma na kuzikosoa. Wanasema kwa mfano wanapotaja cheni ya al-Bukhaariy ya kwamba Hadiyth hii ni nzuri. Vivyo hivyo kuhusu Muslim.
Jibu: Maimamu wameafikina juu ya kuzikubali Hadiyth za ndani ya al-Bukhaariy na Muslim. Isipokuwa mambo machache ambayo al-Daraaqutwniy ameyakosoa ndani ya Muslim. Vinginevyo maimamu wameafikiana juu ya kukubali mapokezi ya al-Bukhaariy na Muslim na kwamba baada ya kuzidurusu na kuzipatiliza imebainika kusalimika kwake upande wa cheni zake. Watunzi wawili, al-Bukhaariy na Muslim, wamejitahidi katika hilo na kuzichagua kutoka katika mkusanyiko wa Hadiyth nyingi. Allaah awarehemu. Cheni zake ziko wazi.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24617/هل-يوجد-خلاف-في-قبول-البخاري-ومسلم
- Imechapishwa: 14/11/2024
Swali: Baadhi ya wanafunzi wanachukua minyororo ya wapokezi ya al-Bukhaariy na Muslim kwa ajili ya kuzisoma na kuzikosoa. Wanasema kwa mfano wanapotaja cheni ya al-Bukhaariy ya kwamba Hadiyth hii ni nzuri. Vivyo hivyo kuhusu Muslim.
Jibu: Maimamu wameafikina juu ya kuzikubali Hadiyth za ndani ya al-Bukhaariy na Muslim. Isipokuwa mambo machache ambayo al-Daraaqutwniy ameyakosoa ndani ya Muslim. Vinginevyo maimamu wameafikiana juu ya kukubali mapokezi ya al-Bukhaariy na Muslim na kwamba baada ya kuzidurusu na kuzipatiliza imebainika kusalimika kwake upande wa cheni zake. Watunzi wawili, al-Bukhaariy na Muslim, wamejitahidi katika hilo na kuzichagua kutoka katika mkusanyiko wa Hadiyth nyingi. Allaah awarehemu. Cheni zake ziko wazi.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24617/هل-يوجد-خلاف-في-قبول-البخاري-ومسلم
Imechapishwa: 14/11/2024
https://firqatunnajia.com/ibn-baaz-kuhusu-hadiyth-za-al-bukhaariy-na-muslim/