Swali: Vipi kwa yule ambaye anaposalimiwa husema:
أهلًا ومرحبًا
“Habari na karibu.”?
Jibu: Ni kwenda kinyume na Sunnah. Ni lazima aseme kama alivobainisha Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
وعليك السلام ورحمة الله
“Nawe amani na rehema za Allaah ziwe juu yako.”
Lakini ni vizuri akizidisha baada yake, kama ambavo Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alifanya kwa Umm Haaniy´.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24238/ما-حكم-رد-السلام-بقول-اهلا-ومرحبا
- Imechapishwa: 20/09/2024
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)