Swali: Ni ipi hukumu ya ambaye amemwingilia mkewe akalala pasi na kutawadha wala kuoga? Anapata dhambi kwa kufanya hivo?
Jibu: Dogo liwezalo kusemwa ni kwamba imechukizwa sana. Wakati ´Umar (Radhiya Allaahu ´anh) alipomuuliza Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Je, mmoja wetu aoge ilihali ana janaba?” Akajibu: “Ndio, pindipo atatawadha.”
Kwa hivyo anatakiwa kutawadha[1]. Kile kitendo chake cha yeye kulala pasi na angalau kutawadha imechukizwa sana.
Tazama https://firqatunnajia.com/12-wenye-janaba-wanatakiwa-kutawadha-kabla-ya-kulala/
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (03) http://audio2.islamweb.net/lecturs/aalrrajhee/430/430.mp3
- Imechapishwa: 14/04/2018
Swali: Ni ipi hukumu ya ambaye amemwingilia mkewe akalala pasi na kutawadha wala kuoga? Anapata dhambi kwa kufanya hivo?
Jibu: Dogo liwezalo kusemwa ni kwamba imechukizwa sana. Wakati ´Umar (Radhiya Allaahu ´anh) alipomuuliza Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Je, mmoja wetu aoge ilihali ana janaba?” Akajibu: “Ndio, pindipo atatawadha.”
Kwa hivyo anatakiwa kutawadha[1]. Kile kitendo chake cha yeye kulala pasi na angalau kutawadha imechukizwa sana.
Tazama https://firqatunnajia.com/12-wenye-janaba-wanatakiwa-kutawadha-kabla-ya-kulala/
Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (03) http://audio2.islamweb.net/lecturs/aalrrajhee/430/430.mp3
Imechapishwa: 14/04/2018
https://firqatunnajia.com/hukumu-ya-kulala-na-janaba-pasi-na-kutawadha/