Swali: Ni ipi hukumu kwa mtu ambaye anaathiri maisha ya ndoa ya mume na mke kwa njia mbaya? Mtu huyo ni katika jamaa wa karibu na mke.
Jibu: Ni haramu kumuharibia mwanamke kwa mume wake sawa bila kujali mwenye kufanya hivyo ni ndugu au sio ndugu. an-Nasaa´iy, Abu Daawuud na Ibn Hibbaan wamepokea kupitia kwa Abu Hurayrah (Radhiya Allaahu ´anh) ya kwamba Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Mwenye kumuharibia mwanamke kwa mume wake sio katika sisi.”
Imepokewa na Abu Daawuud.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Fataawaa al-Qayyimah lil-Usrah al-Muslimah, uk. 47-48
- Imechapishwa: 22/09/2020
Swali: Ni ipi hukumu kwa mtu ambaye anaathiri maisha ya ndoa ya mume na mke kwa njia mbaya? Mtu huyo ni katika jamaa wa karibu na mke.
Jibu: Ni haramu kumuharibia mwanamke kwa mume wake sawa bila kujali mwenye kufanya hivyo ni ndugu au sio ndugu. an-Nasaa´iy, Abu Daawuud na Ibn Hibbaan wamepokea kupitia kwa Abu Hurayrah (Radhiya Allaahu ´anh) ya kwamba Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Mwenye kumuharibia mwanamke kwa mume wake sio katika sisi.”
Imepokewa na Abu Daawuud.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Fataawaa al-Qayyimah lil-Usrah al-Muslimah, uk. 47-48
Imechapishwa: 22/09/2020
https://firqatunnajia.com/hukumu-ya-kuathiri-ndoa-kwa-njia-mbaya/