Swali: Je, ni kweli kwamba fatwa zinabadilika kwa kubadilika kwa wakati na mahali?
Jibu: Haya ni maneno yanayosemwa na watu. Fatwa inatakiwa iwe kwa mujibu wa Qur-aan na Sunnah, kila wakati na mahali. Hazitakiwi kutoka katika Qur-aan na Sunnah.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (58) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/15-01-1438-ighastat.mp3
- Imechapishwa: 22/10/2017
Swali: Je, ni kweli kwamba fatwa zinabadilika kwa kubadilika kwa wakati na mahali?
Jibu: Haya ni maneno yanayosemwa na watu. Fatwa inatakiwa iwe kwa mujibu wa Qur-aan na Sunnah, kila wakati na mahali. Hazitakiwi kutoka katika Qur-aan na Sunnah.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (58) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/15-01-1438-ighastat.mp3
Imechapishwa: 22/10/2017
https://firqatunnajia.com/hivyo-ndivyo-wanavyosema-wasiokuwa-wasomi/