Swali: Ni ipi hukumu ya kubusu msahafu? Ni upi usahihi wa yale yaliyopokelewa kutoka kwa Abu Bakr (Radhiya Allaahu ´anh) juu ya hilo?
Jibu: Sitambui msingi wa hilo. Imepokelewa kutoka kwa ´Ikrimah – ambaye ni mwanafunzi wa Maswahabah – ya kwamba alikuwa akiubusu na akisema kuwa ni Kitabu cha Mola Wake. Bora mtu asifanye hivo. Kuitukuza Qur-aan kunakuwa kwa kuitendea kazi, kutekeleza hukumu zake, kusadikisha maelezo yake, kuamini zile Aayah zisizokuwa wazi na kutendea kazi hukumu zake.
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (23)
- Imechapishwa: 12/11/2021
Swali: Ni ipi hukumu ya kubusu msahafu? Ni upi usahihi wa yale yaliyopokelewa kutoka kwa Abu Bakr (Radhiya Allaahu ´anh) juu ya hilo?
Jibu: Sitambui msingi wa hilo. Imepokelewa kutoka kwa ´Ikrimah – ambaye ni mwanafunzi wa Maswahabah – ya kwamba alikuwa akiubusu na akisema kuwa ni Kitabu cha Mola Wake. Bora mtu asifanye hivo. Kuitukuza Qur-aan kunakuwa kwa kuitendea kazi, kutekeleza hukumu zake, kusadikisha maelezo yake, kuamini zile Aayah zisizokuwa wazi na kutendea kazi hukumu zake.
Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (23)
Imechapishwa: 12/11/2021
https://firqatunnajia.com/hivi-ndivo-inatukuzwa-qur-aan-na-sio-kwa-kuibusu/