Nilimsikia Abu ´Abdillaah akiulizwa kuhusu mwanamme ambaye anatoa fatwa pasi na elimu. Akajibu:
“Imepokelewa kwamba Abu Muusa (Radhiya Allaahu ´anh) amesema:
“Anajipenyeza kupitia dini yake.”[1]
Abu ´Abdillaah amesema:
“Hivi kweli inawezekanaje mtu ambaye anatambua Sunnah kutoka kwa Mtume wake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) lakini hata hivyo akachagua kutoa fatwa inayokwenda kinyume?”
Alionekana amelichukulia khatari jambo hilo.
[1] ad-Daarimiy (1/274).
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Abiy Harb al-Jarjaara’iy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ahmad, uk. 99
- Imechapishwa: 28/03/2021
Nilimsikia Abu ´Abdillaah akiulizwa kuhusu mwanamme ambaye anatoa fatwa pasi na elimu. Akajibu:
“Imepokelewa kwamba Abu Muusa (Radhiya Allaahu ´anh) amesema:
“Anajipenyeza kupitia dini yake.”[1]
Abu ´Abdillaah amesema:
“Hivi kweli inawezekanaje mtu ambaye anatambua Sunnah kutoka kwa Mtume wake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) lakini hata hivyo akachagua kutoa fatwa inayokwenda kinyume?”
Alionekana amelichukulia khatari jambo hilo.
[1] ad-Daarimiy (1/274).
Muhusika: Imaam Muhammad bin Abiy Harb al-Jarjaara’iy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ahmad, uk. 99
Imechapishwa: 28/03/2021
https://firqatunnajia.com/hivi-inawezekanaje/