Swali: Hii leo kumekithiri mazungumzo katika magazeti, TV na Khutbah za ijumaa misikitini kuhusu historia ya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam), haki zake na tabia zake kwa sababu ya kukaribia siku ya kuzaliwa kwake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Ni ipi hukumu ya kitendo hichi? Una nasaha zipi kwa Ummah juu ya jambo hilo?
Jibu: Ndio. Kusoma historia ya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam), tabia zake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam), kukumbusha kumpenda na kumfuata ni jambo lililowekwa katika Shari´ah. Lakini hata hivyo haliwekewi siku maalum. Jambo hili linafanyika mwaka mzima. Kuhusu ambaye anachagua wakati huu na hazungumzi kuhusu historia wala kuhusu sifa za Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) isipokuwa tu katika wakati huu, hii ni njia ya kuhuisha Bid´ah. Zindukeni juu ya hilo. Zindukeni juu ya hilo; kufanya siku maalum katika wakati huu ambao ni karibu na sehemu ya Bid´ah hiyo ina maana kwamba ni kushirikiana na wazushi juu ya kuhuisha Bid´ah. Hakuna kilichokufanya wewe kusoma historia ya Mtume katika wakati huu isipokuwa ni kwa sababu zitafufuliwa Bid´ah hizi punde tu. Hivyo wewe unakuwa ni mwenye kushirikiana nao na kuwapa nguvu.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.ajurry.com/vb/showthread.php?t=25227
- Imechapishwa: 02/11/2019
Swali: Hii leo kumekithiri mazungumzo katika magazeti, TV na Khutbah za ijumaa misikitini kuhusu historia ya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam), haki zake na tabia zake kwa sababu ya kukaribia siku ya kuzaliwa kwake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Ni ipi hukumu ya kitendo hichi? Una nasaha zipi kwa Ummah juu ya jambo hilo?
Jibu: Ndio. Kusoma historia ya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam), tabia zake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam), kukumbusha kumpenda na kumfuata ni jambo lililowekwa katika Shari´ah. Lakini hata hivyo haliwekewi siku maalum. Jambo hili linafanyika mwaka mzima. Kuhusu ambaye anachagua wakati huu na hazungumzi kuhusu historia wala kuhusu sifa za Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) isipokuwa tu katika wakati huu, hii ni njia ya kuhuisha Bid´ah. Zindukeni juu ya hilo. Zindukeni juu ya hilo; kufanya siku maalum katika wakati huu ambao ni karibu na sehemu ya Bid´ah hiyo ina maana kwamba ni kushirikiana na wazushi juu ya kuhuisha Bid´ah. Hakuna kilichokufanya wewe kusoma historia ya Mtume katika wakati huu isipokuwa ni kwa sababu zitafufuliwa Bid´ah hizi punde tu. Hivyo wewe unakuwa ni mwenye kushirikiana nao na kuwapa nguvu.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.ajurry.com/vb/showthread.php?t=25227
Imechapishwa: 02/11/2019
https://firqatunnajia.com/historia-ya-mtume-%d8%b5%d9%84%d9%89-%d8%a7%d9%84%d9%84%d9%87-%d8%b9%d9%84%d9%8a%d9%87-%d9%88%d8%b3%d9%84%d9%85-haisomwi-mfungo-sita-peke-yake/
Mshirikishe mwenzako:
- Share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Print (Opens in new window) Print
- Email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Share on X (Opens in new window) X
- Share on Pocket (Opens in new window) Pocket