Swali: Leo haijuzu kuanza kuwatolea salamu makafiri kwa sababu wanasema kifo (السام)?
Jibu: Hapana, sio kwa sababu hiyo. Hawaanzi kutolewa salamu kwa sababu ya ukafiri na kuwadhalilisha. Hata hivyo wao wakianza kutoa salamu waitikiwe kwa kuambiwa:
وعليكم
“Nanyi pia.”
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24249/الحكمة-من-عدم-ابتداء-الكفار-بالسلام
- Imechapishwa: 20/09/2024
Swali: Leo haijuzu kuanza kuwatolea salamu makafiri kwa sababu wanasema kifo (السام)?
Jibu: Hapana, sio kwa sababu hiyo. Hawaanzi kutolewa salamu kwa sababu ya ukafiri na kuwadhalilisha. Hata hivyo wao wakianza kutoa salamu waitikiwe kwa kuambiwa:
وعليكم
“Nanyi pia.”
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24249/الحكمة-من-عدم-ابتداء-الكفار-بالسلام
Imechapishwa: 20/09/2024
https://firqatunnajia.com/hekima-ya-kutoanza-kuwasalimia-makafiri/