Swali: Mwanachuoni akienda kinyume na madhehebu ya Salaf katika suala au masuala mengi anaambiwa kuwa ni katika wanachuoni wa Sunnah, kama mfano wa Ibn Hajar, an-Nawawiy na wengineo (Rahimahumu Allaah)?
Jibu: Bila ya shaka. Hawa ni katika wabebaji wa Sunnah na ni katika maimamu wa Hadiyth (Rahimahumu Allaah). Hata kama waliteleza na baadhi ya makosa katika taawili na kadhalika.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (59) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1432-11-18.mp3
- Imechapishwa: 16/11/2014
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket