Swali: Ninapochinja njiwa wangu huwa ninawakata vichwa mara moja bila kungoja wafe kwanza. Je, uchinjaji wangu huu ni sahihi ?
Jibu: Inachukiza kufanya hivo. Ni jambo linalochukiza kukata kichwa chake kabla ya kufa. Wakati ameshakufa, ndio umkate kichwa chake.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (41)
- Imechapishwa: 28/06/2024
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)