Swali: Mtu akipitwa na swalah na akamuwahi imamu katika Tashahhud kabla ya kutoa salamu – je, anahesabika amewahi swalah ya mkusanyiko au hapana?
Jibu: Maoni ya sawa ni kwamba mtu hawahi swalah ya mkusanyiko isipokuwa pale atakapowahi Rak´ah moja.
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (11) https://audio.islamweb.net/audio/index.php?page=FullContent&audioid=191491#219817
- Imechapishwa: 01/06/2019
Swali: Mtu akipitwa na swalah na akamuwahi imamu katika Tashahhud kabla ya kutoa salamu – je, anahesabika amewahi swalah ya mkusanyiko au hapana?
Jibu: Maoni ya sawa ni kwamba mtu hawahi swalah ya mkusanyiko isipokuwa pale atakapowahi Rak´ah moja.
Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (11) https://audio.islamweb.net/audio/index.php?page=FullContent&audioid=191491#219817
Imechapishwa: 01/06/2019
https://firqatunnajia.com/hapa-ndipo-mtu-anazingatiwa-amewahi-mkusanyiko/