Swali: Ni lini madhambi hubadilishwa kuwa mema?
Jibu: Hubadilishwa kuwa mema pale mtu anapotubu na akafanya matendo mema, kama alivyoeleza Allaah:
إِلَّا مَن تَابَ وَآمَنَ وَعَمِلَ عَمَلًا صَالِحًا
“Isipokuwa [hatoadhibiwa] yule aliyetubu na akaamini na akatenda matendo mema.”[1]
Swali: Je, tawbah ya kweli hubadilisha madhambi kuwa mema?
Jibu: Ndio, hubadilishwa. Kama ilivyo katika Aayah Tukufu ya Suurah al-Furqaan. Mtu akitubu na kufanya matendo mema, Allaah hubadilisha kila dhambi aliyofanya kuwa mema. Kama Alivyosema:
وَإِنِّي لَغَفَّارٌ لِّمَن تَابَ وَآمَنَ وَعَمِلَ صَالِحًا ثُمَّ اهْتَدَىٰ
“Hakika Mimi ni Mwingi wa kusamehe kwa anayetubia na akaamini na akatenda mema kisha akanyooka barabara.”[2]
إِلَّا مَن تَابَ وَآمَنَ وَعَمِلَ عَمَلًا صَالِحًا
“Isipokuwa [hatoadhibiwa] yule aliyetubu na akaamini na akatenda matendo mema.”
Kwa maana ya kwamba ameongeza juu ya tawbah matendo mema ili kufidia yaliyopita.
[1] 25:70
[2] 20:82
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/31135/هل-التوبة-الصادقة-تبدل-السيىات-حسنات
- Imechapishwa: 04/10/2025
Swali: Ni lini madhambi hubadilishwa kuwa mema?
Jibu: Hubadilishwa kuwa mema pale mtu anapotubu na akafanya matendo mema, kama alivyoeleza Allaah:
إِلَّا مَن تَابَ وَآمَنَ وَعَمِلَ عَمَلًا صَالِحًا
“Isipokuwa [hatoadhibiwa] yule aliyetubu na akaamini na akatenda matendo mema.”[1]
Swali: Je, tawbah ya kweli hubadilisha madhambi kuwa mema?
Jibu: Ndio, hubadilishwa. Kama ilivyo katika Aayah Tukufu ya Suurah al-Furqaan. Mtu akitubu na kufanya matendo mema, Allaah hubadilisha kila dhambi aliyofanya kuwa mema. Kama Alivyosema:
وَإِنِّي لَغَفَّارٌ لِّمَن تَابَ وَآمَنَ وَعَمِلَ صَالِحًا ثُمَّ اهْتَدَىٰ
“Hakika Mimi ni Mwingi wa kusamehe kwa anayetubia na akaamini na akatenda mema kisha akanyooka barabara.”[2]
إِلَّا مَن تَابَ وَآمَنَ وَعَمِلَ عَمَلًا صَالِحًا
“Isipokuwa [hatoadhibiwa] yule aliyetubu na akaamini na akatenda matendo mema.”
Kwa maana ya kwamba ameongeza juu ya tawbah matendo mema ili kufidia yaliyopita.
[1] 25:70
[2] 20:82
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/31135/هل-التوبة-الصادقة-تبدل-السيىات-حسنات
Imechapishwa: 04/10/2025
https://firqatunnajia.com/hapa-ndipo-madhambi-hubadilishwa-kuwa-mema/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket