Swali: Ni lini imewekwa katika Shari´ah maamuma kusema “Aamiyn”? Je, inakuwa pamoja imamu au inakuwa baada yake?
Jibu: Aseme “Aamiyn” baada ya sauti ya imamu kumalizika.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (85) http://alfawzan.af.org.sa/ar/node/17635
- Imechapishwa: 23/06/2018
Swali: Ni lini imewekwa katika Shari´ah maamuma kusema “Aamiyn”? Je, inakuwa pamoja imamu au inakuwa baada yake?
Jibu: Aseme “Aamiyn” baada ya sauti ya imamu kumalizika.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (85) http://alfawzan.af.org.sa/ar/node/17635
Imechapishwa: 23/06/2018
https://firqatunnajia.com/hapa-ndipo-maamuma-anatakiwa-kusema-aamiyn/