601- Nilimsikia Ahmad akiulizwa kama ni lazima kwa masikini kutoa Zakaat-ul-Fitwr. Jawabu lake lilikuwa:
“Ni lazima kwake kuitoa kama yuko na chakula cha siku hiyo.”
Kukasemwa kuambiwa Ahmad: “Hana.” Ahmad akajibu:
“Hahitajii kuitoa.”
- Muhusika: Imaam Abu Daawuud Sulaymaan bin al-Ash´ath as-Sijistaaniy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ahmad, uk. 124
- Imechapishwa: 09/03/2021
601- Nilimsikia Ahmad akiulizwa kama ni lazima kwa masikini kutoa Zakaat-ul-Fitwr. Jawabu lake lilikuwa:
“Ni lazima kwake kuitoa kama yuko na chakula cha siku hiyo.”
Kukasemwa kuambiwa Ahmad: “Hana.” Ahmad akajibu:
“Hahitajii kuitoa.”
Muhusika: Imaam Abu Daawuud Sulaymaan bin al-Ash´ath as-Sijistaaniy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ahmad, uk. 124
Imechapishwa: 09/03/2021
https://firqatunnajia.com/hapa-ndipo-itamlazimu-masikini-kutoa-zakaat-ul-fitwr/