Swali: Inajuzu kusema au kueleza kwamba “Allaah yuko imara na sio mwenye kugeuka kama binaadamu”?
Jibu: Maneno haya hayana msingi. Hatujui kuwa kuna yeyote katika Salaf aliyesema maneno kama haya. Kwa hivyo haifai kumweleza hivo isipokuwa tu kwa yale yaliyothibiti kupitia maandiko.
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (01) http://audio.islamweb.net/audio/index.php?page=FullContent&audioid=190884#219018
- Imechapishwa: 28/01/2018
Swali: Inajuzu kusema au kueleza kwamba “Allaah yuko imara na sio mwenye kugeuka kama binaadamu”?
Jibu: Maneno haya hayana msingi. Hatujui kuwa kuna yeyote katika Salaf aliyesema maneno kama haya. Kwa hivyo haifai kumweleza hivo isipokuwa tu kwa yale yaliyothibiti kupitia maandiko.
Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (01) http://audio.islamweb.net/audio/index.php?page=FullContent&audioid=190884#219018
Imechapishwa: 28/01/2018
https://firqatunnajia.com/hakuna-yeyote-katika-salaf-aliyesema-hivo/