Swali: Je, mwenye kumtuhumu mke wa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) kwa machafu yale anakuwa ni kafiri…
Jibu: Bila ya shaka. Kwa kuwa anamkadhibisha Allaah. Mwenye kumtuhumu ´Aaishah kwa mambo ambayo Allaah Amemtakasa nayo, amemkadhibisha Allaah, Mtume Wake na Ijmaa´ ya Waislamu. Ni kafiri. Hakuna shaka yoyote kwa ukafiri wake.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (65) http://www.alfawzan.af.org.sa/node/13832
- Imechapishwa: 16/11/2014
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)